Shule za msingi 38 zimefutiwa matokeo ya darasa la saba baada ya kufanya udanganyifu.
Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA), limefuta matokeo ya mitihani ya Taifa ya darasa la 7 kwa shule 38, ambazo zimebainika kufanya udanganyifu kwenye mitihani hiyo iliyofanyika Oktoba 7 na 8, 2020, na kuwafutia matokeo watahiniwa 1,059, baada ya kubainika wamefanya udanganyifu. Taarifa hiyo imetolewa hii leo Novemba 21, 2020, na Katibu Mtendaji wa Baraza hilo
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed